Sherehe za Uhuru Tanzania
bara
09/12/2008
Pichani
juu sherehe za miaka 47 ya uhuru ambayo yamefanyika uwanja wa taifa
ambapo wakubwa mbalimbali walihudhuria wa kutoka bara na visiwani.
Sherehe hizo zilikuwa na halaiki ya watoto wa shule wasiopungua 1000,
ngoma za asili, majeshi ya Tanzania wakiwemo Wanamaji (Tanzania Navy),
na kadhalika.
|