Ofisi ya wizara ya utalii yaungua
moto
13/12/2008

Msemaji wa wizara ya
maliasili na utalii George Matiko akionesha madhara yaliyoitokana na
moto baada ya ofisi ya waziri na sehemu ya ofisi ya katibu mkuu kuungua
usiku kuamkia leo. Chanzo cha moto inaadhaniwa ni hitilafu ya umeme, na
uchunguzi unafanyika na wataalamu kubaini nini hasa kilichosababisha
moto huo.
|