Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mgonja aachiwa kwa dhamana

19/12/2008

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Gray Mgonja (katikati) akitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam baada ya kupata dhamana katika kesi inyomkabili ya matumizi mabaya ya ofisi.

KATIBU MKUU MSTAAFU GRAY MGONJA HATIMAYE AMEACHIWA BAADA YA KUTIMIZA MASHARTI YA DHAMANA IKIWA NI PAMOJA NA KUWEKA BONDI LA SHILINGI BILIONI 5.9.

MGONJA AMEWEZA KUTOA HATI ZA NYUMBA NA VIWANJA KADHAA PAMOJA NA GODAUNI ZENYE THAMANI YA BILIONI 6.1 KAMA DHAMANA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI YA KISUTU IMERIDHIA HATI ZILIZOWASILISHWA NA KUMPA DHAMANA.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©