Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete sasa ni Dk. Jakaya Kikwete

20/12/2008

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Kenyatta nchini Kenya, Dk. Harris Mule akimtunuku Phd ya Heshima Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa mahafali ya 25 ya chuo hicho yaliyofanyika mjini Nairobi, Kenya jana. Phd hiyo inatokana na jitihada zake za utatuzi wa migogoro kwa nchi za Afrika hasa mgogoro wa Kenya uliozuka baada ya uchaguzi mapema mwaka huu.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©