Usanifu wa vilemba
30/12/2008

Mke wa Rais wa Msumbiji akimfunga kilemba
Mke wa Rais wa Tanzania, Bi Salma Kikwete alipofanya ziara yake nchini
Msumbiji hivi karibuni.

Mke wa Rais Salma Kikwete amekua
akijizolea sifa kemkem kutoka kila pembe kwa jinsi alivyo makini kwa
ufungaji wake wa Vilemba na kugeuka kuwa mtindo maarufu kwa wakinamama
wengi mjini.
|