Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mjadala juu ya mapigano ya Kongo (DRC)

02/11/2008

JK akijadili jambo na Mawaziri wa Mambo ya nje wa Uingereza David Miliband (kushoto) na Bernard Kouchner (katikati) wakati mawaziri hao walipomtembelea Rais Kikwete ikulu jijini Dar es salaam leo asubuhi na kujadili hali ya mapigano Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati alipokutana na mawaziri wa mambo ya nje wa Uingereza Bwana David Miliband (kushoto) na Waziri wa Mambo ya nje wa Ufaransa Bwana Bernard Kouchner ikulu jijini Dar es Salaam kujadili hali ya vita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na juhudi za kimataifa kutatua mzozo huo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©