Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Ajali karibu na bandarini - Dar es Salaam

12/11/2008

Baadhi ya wananchi wa eneo la bandari, Kurasini jijini Dar es Salaam kama walivyokutwa na mpiga picha wakiliangalia lori namba T410 ADR lenye tela no. T875 AKX likiwa limeanguka chini ya daraja lilipo karibu na lango kuu la kuingilia Bandarini.

Ajali hiyo ambayo inasemekana kuwa haikuleta madhara kwa dereva na utingo wake ilitokea asubuhi hii ya leo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©