DAR VILLAGE kufunguliwa
hivi karibuni
16/11/2008

Kijiji
cha biashara kinachosemekana kuwa kikubwa kuliko vyote nchini kinajengwa
sehemu za Kijitonyama barabara ya Rose Garden jijini Dar es Salaam.

Wajenzi
wa Dar Village wamesema kijiji hicho itakuwa tayari kwa matumizi mwezi
Mei 2009. Hii ni moja ya majengo ambayo yatarembesha vitongoji vya Dar
es Salaam ambako kwa sasa fasheni ni kujenga kati ya jiji.
|