Vikwangua anga (Maghorofa)
yapamba Dar es Salaam
19/11/2008

Kiwanja
kikiwa katika matayarisho kwa ajili ya kikwangua anga kipya na sasa bado
zege na nondo tu. Hapo ni mtaa wa Ohio katikati ya PPF tower na Posta
House, kule kushoto ni kikwangua anga kingine ambacho inasemekana kuwa
ni moja ya Benki za nje zinazowekeza nchini Tanzania katika jiji kuu la
Dar es Salaam.
|