Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Sehemu za Kihistoria za Tanzania

23/11/2008

Soko la watumwa lililotumiwa na wakoloni enzi hizo wilayani Njombe mkoani Iringa. Picha hizi za kihistoria zimetumwa na mkazi wa wilaya ya Njombe, mkoani Iringa kwa hoja ya utunzi na matumizi ya sehemu za kihistoria za Tanzania na matumizi yake.

Hii ni picha ya ndani ya mahakama ya wakoloni iliyopo Njombe, mkoani Iringa.

Picha hii kwa upande mwingine ni jengo la mahakama iliotumiwa na enzi za wakoloni, imeachwa kama sehemu ya kihistoria wilayani Njombe, mkoani Iringa.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©