Gari la taka ni takataka?
28/11/2008

Hivi ni lazima magari ya taka lazima yawe
takataka? Asilimia kubwa ya magari ya taka jijini Dar es Salaam ni
mabovu mno na yenye kuharibika mara mara kwa mara na kusababisha
mandhari na afya ya mji kutokuwa nzuri. Je, hakuna sheria inayoruhusu
magari haya mabovu ambayo kama taratibu zikifuatwa hayapaswi kuwa
barabarani kwa madhumuni ya kusafisha mji.
|