Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mama Maria Nyerere akutana na Waziri wa Msumbiji

29/11/2008

Mama Maria Nyerere akimpa maelekezo Waziri Mkuu wa Msumbiji Luisa Diogo (aliyevaa nguo ya rangi ya udongo) kuhusiana na aina ya mboga iliyopo katika bustani yake.

Waziri Mkuu wa Msumbiji Luisa Diogo pamoja na wageni wengine wakitembelea bustani ya mboga ya Mama Maria Nyerere wakati walipomtembelea nyumbani kwake Msasani Jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Msumbiji Luisa Diogo akibadilishana mawazo na Mama Maria Nyerere.

Waziri Mkuu wa Msumbiji Luisa Diogo akimvisha zawadi ya nguo aina ya kikoi Mama Maria Nyerere wakati alipomtembelea nyumbani kwake Msasani.

Waziri Mkuu wa Msumbiji Mh. Luisa Diogo na Mama Maria Nyerere wakati alipomtembelea nyumbani kwake Msasani Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumjulia hali.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©