Maajabu ya Johan Lorbeer
30/11/2008

Pichani ni msanii Johan Lorbeer wa
Ujerumani ambaye anajiita "Tarzan" kwa sababu ya kuning'inia kwenye
ukuta bila ya kizuizi chochote.

Bwana Johan Lorbeer hupendelea kujitokeza
kufanya usanii wake sehemu za pirika pirika za watu hasa wakati wa
mchana wakati watu wakiwa mbioni na harakati za maisha.

Usanii wake mkubwa wa kuwashangaza watu ni
kunasia sehemu ambazo haziwezekani na kushindana na nguvu za mvutano
(Gravity Force).
|