Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

SATNAV ya kwanza duniani

02/08/2008

Katika miaka ya zamani kabla ya 'Satellite' hazijavumbuliwa, kulikuwa na GPS au (Global Positioning System) ya mkono ambayo ilivumbuliwa na ilikuwa ikitamba katika mitaa ya London katika miaka ya 1920. GPS hiyo (pichani juu) inaitwa (The Plus Four Wristlet Route Indicator) inavaliwa mkononi kama saa ikiwa na karatasi ya kubandika ambayo imechorwa njia maalum ya mtumiaji. GPS hiyo, ina mikono ya kuzungusha karatasi yenye ramani ambayo inahitaji nguvu, akili ya kuzaliwa na macho ya mtumiaji.

Wavumbuzi wa GPS hiyo waliona mbali... Sasa hivi, kuna makampuni zaidi ya 20 duniani kama TOMTOM ambayo inatengeneza 'Navigators' ambazo zinatumia 'Satellite' ikiwa kama ni GPS. Tofauti ya Wristlet Indicator na Satellite, ni kwamba, Satellite zinauwezo wa kuona mbali na kukupa picha kubwa ya mahala ulipo na vilevile kukuchukua mpaka mlangoni mwa unapokwenda. Lakini Wristlet Route Indicator ilikuwa ndio chanzo chake.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©