Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rubani mwenye umri mdogo Tanzania

07/08/2008

Pichani ni rubani Specioza Rweyemamu wa shirika la Precision Air la Dar es Salaam, ana umri wa miaka 24, kwa sasa anaendesha ndege aina ya ATR 42 zenye uwezo wa kubeba abiria 47, na ATR 72 zenye uwezo wa kubeba abiria 70.

Leo hii amefanya mahojiano Maalum na Gazeti la Habari Leo kwenye Ofisi za magazeti hilo jijini Dar es Salaam. Muda mfupi kabla ya kurudi uwanja wa Ndege wa Mw. Julius Nyerere, akiwa tayari kabisa kupaisha pipa kuelekea Nairobi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©