![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Mradi wa Wanawake Pemba (Pemba Panorama Project)16/08/2008
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mhe. Mwanaidi Maajar, anawakaribisha Watanzania wote na watakaopendelea kujitolea mchango wao katika kusaidia Pemba Panorama Project, Zanzibar, katika hafla itakayofanyika mjini London. Mchango huu unawagusia Wanawake walio Pemba kujiendeleza kiuchumi na kuinua hali yao ya kimaisha. Zaidi ya wageni 250 wa kutoka sekta mbalimbali wanategemewa kufika katika hafla hiyo ambayo itafanyika Ijumaa ya tarehe 12/09/2008, saa 7:30pm na kuendelea, Marlborough House, Pall Mall, London, SW1Y 5HY. Tiketi zinatolewa kwa atakayependelea kujitolea mchango wake kwenye mradi huo: Tiketi (Kiingilio) £35.00 Wasiliana na:
Amos Msanjila / Idris Zahran – Tanzania High Commission (02075691470)
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||