![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Ajali ya BASI - Morogoro28/08/2008
Basi la kampuni ya Kimambo lenye namba za usajili (T268 AQM) lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, likiwa miguu juu baada ya kuanguka jirani kabisa na uwanja wa maonyesho ya wakulima (nane nane). Habari zilizopatikana eneo la tukio zilidai kwamba chanzo cha ajali hiyo ni askari wa usalama barabani kuisimamisha ghafla gari ndogo aina ya Toyota Baloon. Watu wawili walikufa papo hapo na wengine kujeruhiwa vibaya.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||