Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete atembelea Marekani

30/08/2008

JK na mwenyeji wake Rais George Bush wa Marekani wakiwa katika mazungumzo ofisini kwa Rais Bush, Oval office iliyopo ikulu ya Marekani (White house) jijini Washington D.C Ijumaa asubuhi.

Mke wa Rais Salma Kikwete (kushoto) akiwa na Mke wa Rais wa Marekani Laura Bush kwenye ikulu ya nchini hiyo The White House alipomtembela Laura jana. Rais Kikwete na Mkewe wapo nchini Marekani kwa Mwaliko Rasmi wa Rais George Bush.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©