![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Kaseba atetea mkanda wake01/07/2008
Bingwa wa Dunia wa mchezo wa Kick Boxing, Joseph Kaseba (katikati) akipongezwa na baba yake mzazi Lazaro Kaseba Matete kulia pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abass Kandoro (kushoto) baada ya kutetea mkanda wake wa WKC katika mchezo uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar hivi karibuni. Kaseba alimshinda mpinzani wake Ricky Agayas wa Ufilipino katika raundi ya pili ya mchezo.
Bingwa wa Dunia wa mchezo wa Kick Boxing Joseph Kaseba, akiwa na mkanda wa ubingwa wa dunia unaotambuliwa na Chama cha Kick boxing Ulimwenguni (WKL), mara baada ya kumdunda mpinzani wake, Ricky Agayas kutoka Ufilipino katika raundi ya pili, katika ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||