![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Maziko ya baba yake Malik (LIKI)07/07/2008
Bitebo (kulia) akimpa pole Dk. Liki (kushoto), hawa ni ndugu wa karibu na wamekua pamoja tangu utotoni.
Dk. Liki akiwa na waliohudhuria katika maziko hayo, akiwemo Kaka Michuzi (kulia).
Dk. Liki akipewa pole na mchezaji mkongwe wa soka enzi hizo Rashid Seif (kati) na mzee mwingine wa mjini.
Dua wakati wa mazishi ya mzee Abdallah.
Maziko hayo ambayo yalikuwa mchana wa jana tarehe 06/07/2008 katika makaburi ya Kisutu, yamehudhuriwa na watu mbalimbali wanaomjua Liki na baba yake na wengine walioona ni wajibu kufika hapo. Mzee Abdallah ni baba mzazi wa mchambuzi maarufu wa soka nchini, Dk. Liki Abdallah na kepteni Azizi Abdallah. Mzee Abdallah amefariki tarehe 05/07/2008 nyumbani kwake Shariff Shamba, Ilala, Dar es Salaam.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||