![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
MWIZI - mpaka waishe!!!11/07/2008
Kijana aliyelala hapo chini aliipata joto ya jiwe alipokwapua cheni kwa mama mmoja karibu na jengo la PPF Tower na kukumbana na kundi lenye hasira kali na kumshushia kipondo kama uonavyop pichani, huku wengine wakisema "ooh tumewachoka hawa wamezidi sana na mpaka waishe!",lakini hata hivyo kibaka huyo aliokolewa na askari wa kampuni ya ulinzi na kuchukuliwa hatua zaidi za kisheria baada ya watu kuchukua sheria mkononi.
Mama huyu atauwa!!!
Siku zake bado zipo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||