Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete akutana na Mkongwe wa Korogwe

21/07/2008

JK alisalimiana na Bibi Makihiyo Baluah anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 102 wakati alipomtembelea bibi huyo nyumbani kwake mjini Korogwe wakati wa ziara yake mkoani Tanga.

Bibi Baluah ni mke wa hayati Mzee Baluah ambaye alikuwa rafiki yake hayati Mzee Mrisho Kikwete, baba yake JK, ambaye yupo mkoani Tanga kwa ziara ya kikazi kukagua na kufungua miradi ya maendeleo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©