![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Wajumbe wa Sullivan watembelea Zanzibar06/06/2008
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, akimkabidhi zawadi balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Young huko hoteli ya Kempsiki Pwani Mchangani.
Mke wa rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mama Shadya Karume akimkabidhi zawadi mke wa balozi Andrew Young, wakati wa chakula cha usiku huko hoteli ya Kempsiki Pwani Mchangani, mkoa wa kaskazini Unguja.
Mwenyekiti wa jumuia ya Wawekezaji Watalii Zanzibar (ZATI), bwana Simai Mohammed, akimkabidhi zawadi rais wa Sullivan Foundation, Mrs. Hope Master, wakati wa hafla ya chakula cha usiku kwa wajumbe wa mkutano wa Sullivan walipotembelea Zanzibar huko hoteli ya Kempsiki Pwani Mchangani, mkoa wa Kaskazini Unguja.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||