Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mgomo wa Daladala - Dar es Salaam

08/06/2008

Hivi karibuni magari ya abiria (Daladala) jijini Dar yalitangaza mgomo wa kusimamisha huduma zao za kusafirisha abiria kwa kile walichodai kuwa bei ya mafuta imepanda hivyo na nauli ipandishwe. Kufuatia kauli hiyo pia mkuu wa mkoa wa jijini Dar, Mh. Abbas Kandoro alitoa kauli kuwa kwa yeyote (mmiliki) wa magari ya abiria akigoma basi atafutiwa leseni ya biashara hiyo. Lakini pamoja na kauli hiyo kutolewa ya Mkuu wa mkoa bado baadhi ya watoa huduma hiyo wamekaidi agizo hilo na kusababisha usumbufu mkubwa wa usafiri kwa baadhi ya maeneo ikiwemo Kawe, Mwenge, Mtoni mtongani na kwingineko.

Matokeo hayo ambayo yanasababishwa na bei ya mafuta, yanasababishwa na bei ya petroli mbichi (ambayo hupatikana huko kwenye mitambo) kupanda mpaka kufikia $160 na zaidi - kwa pipa moja.

Kutokana na hali hiyo ambayo imeikumba nchi nyingi duniani, ni hali ambayo haipo katika uwezo wa mamlaka.

Kwa kupata mbinu za kubana matumizi yako ya petroli bonyeza hapa

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©