Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rais Kikwete kuhudhuria mkutano wa Jumuia ya Madola

09/06/2008

Pichani juu, Mwenyekiti wa Zenjydar, Bw. Saleh Jaber akisalimiana na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete; rais aliwasili mjini London katika ziara yake ya kikazi. Viongozi na wajumbe wa kutoka jumuia mbalimbali walifika kumpokea mheshimiwa Rais JK. Kushoto kwa JK ni Mhe. balozi Mwanaidi Maajar, nyuma kwa JK ni Mwenyekiti wa Tanzania Association UK, Bw. Abuu Faraji, kushoto kwa Saleh Jaber ni Bw. Haruna Mbeyu na kulia kwa Saleh Jaber ni katibu wa Zenjydar, Bw. Farid Ahmed Nassor. (Picha na dada Mariam Kilumanga).

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasili mjini London kuhudhuria mkutano maalum wa nchi za Jumuia ya Madola ambao unafanyika mjini London.

Viongozi na wajumbe wa jumuia mbalimbali za UK ikiwemo Zenjydar, walipata fursa ya kumpokea na kumsalimia rais alipowasili jijini.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©