Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mashindano ya Miss ILALA

24/06/2008

Washiriki wa shindano la Urembo Miss Ilala 2008, wakiwa katika picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Gerezani jijini Dar es Salaam. Warembo hao wanajiwinda kwa ajili ya kushiriki katika shindano litakalowachuja na kubakiwa na washiriki watano watakaoingia kwenye fainali ya kumpata Miss Tanzania 2008/2009. Shindano hilo linatarajia kufanyika usiku wa tarehe 27/06/2008 katika ukumbi wa New City Garden, zamani (Gerezani Club) uliopo jijini Dar, aidha katika mashindano hayo, mshindi wa kwanza ataibuka na kitita cha sh.700,000/= akiwemo mshindi wa pili na watatu.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©