![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Ndege ya Airbus A320 Air Tanzania yatua Dar es Salaam02/05/2008
Ndege ya Airbus A320 ya Air Tanzania Corporation iliyotua Dar wikiendi hii tayari kwa kuboresha huduma za shirika hilo. Ndege hiyo ambayo imekodishwa kutoka kampuni ya Wallice Trading Company ya Ufaransa ina uwezo wa kubeba abiria 150. Afisa mtendaji mkuu wa ATC Mh. David Mataka amesema ndege hiyo itaanza na safari za Dar-Johannesburg kila siku kukidhi mahitaji ya njia hiyo na kwamba baada ya muda mfupi itaanza safari ya Dubai.
Naibu waziri wa miundomibinu Dk. Milton Makongoro Mahanga akimpongeza bosi wa ATC David Mataka baada ya ndege ya Airbus A320 ilokodiwa na ATC kutua Dar jana.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||