Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Habari ya Kifo - OMAR LAMBI

04/05/2008

Tunasikitika kutangaza kifo cha OMAR LAMBI kilichotokea jana tarehe 03/05/2008 katika hospitali ya university College Hospital, Euston, London, kutona na cancer ya kichwa "Nasopharyngeal Carlinoma".

Historia ya Marehemu:

Marehemu Lambi alikuwa Katibu wa kamati ya muda ya Tanzania Association (TA) ilyoratibu rasimu ya katiba hadi kufanikisha uchaguzi Mkuu uliwachagua uongozi wa sasa.

Pia huko Tanzania, marehemu Lambo alishawahi kuwa rais wa Chuo Cha usimamizi wa fedha "Instute of Finance Management"  (IFM).

Lakini kabla ya kumaliza hiyo kazi, marehemu aliandika barua ya kujiuzuru kutokana na hali yake ya afya ili kupata muda zaidi ya kujiuguza.

Akiwa hapa Uingereza, Marehemu alikuwa na Master ya Strategic Management na mwezi wa tisa mwaka huu alikuwa yupo mbioni kuchukua PHD.

Wakati wa uhai wake alikuwa ni kiongozi wa mfano na aliyejitolea muda wake kwa ajilio ya kufanikisha masuala mbalinmbali yenye faida kwa Watanzania wenzake na Taifa kwa ujumla.

Kwa atakayejaaliwa kutoa mchango wake:

Acc No 132589600
Sort Code 308412
Jina la mwenye Acc Mr S.S Surus
Bank LLoyds TSB

 

Au kwa mawasiliano zaidi wasiliana na:

Almas Kassongo 07983073526
Adam Mgoyi 07817290269
Mhando (international: 00447863138725)

Pinto 07752524846

Waziri Kindamba 07903133646


drwazer@yahoo.com

drwazer@hotmail.com

Marehemu Omar Lambi amezikwa tarehe 06/05/2008, Jumanne, kwenye makaburi ya Hainault, Ilford.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©