![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
The Apprentice UK yazidi kupamba moto BBC 107/05/2008
THE APPRENTICE UK yazidi kupamba moto kwenye programu ya kanati ya BBC 1, wakati wagombea nafasi ya kufanya kazi na Sir Alan Sugar (pichani) wapambana na joto la Morocco katika programu ya usiku huu wa leo saa 9pm, BBC 1. Sababu ya kuchukuliwa Morocco ni kuwa, Sir Alan Sugar anawataka wagombea hao wapambane na watu ambao hawazungumzi lugha yao na vilevile wapambane na watu wanaouza bidhaa kila kukicha kwenye masoko ya Morocco ambayo yajulikanayo kama 'Souk'. Usikose hii ya leo! Vinginevyo, The Apprentice huonyeshwa kila Jumatano saa 9pm, BBC 1.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||