![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Ziara ya Karume - Marekani08/05/2008
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, akisalimiana na wanafunzi wa nursery baada ya mapokezi yaliyofanywa na uongozi wa chuo kikuu cha South Carolina University katika uwanja wa ndege wa mjini Columbia jana akiwa katika ziara ya kikazi mjini humo.
Mke wa rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mama Shadya Karume akisalimiana na watoto mara baada ya mapokezi maalum katika uwanja wa ndege wa Columbia.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, kushoto kwake rais wa chuo kikuu (South Carolina University) Dk. Leonard McIntyre, mama Shadya Karume, balozi wa Tanzania mjini Washington Mhe. Ombeni Sefue na mke wa balozi Mama Ombeni Sefue wakibadilishana mawazo baada ya mapokezi hayo uwanja wa ndege wa Columbia.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mhe. Karume akisalimiana na mwanafunzi kutoka Zanzibar, Daud Ali Mohammed, ambaye anasoma katika chuo kikuu cha South Carolina mjini Columbia mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mjini humo.
Wimbo maalum ulitayarishwa ambao uliimbwa na watoto wakati wa mapokezi.
Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Mhe. Amani Abeid Karume, akisalimiana na mwanafunzi kutoka Zanzibar, Sakina Ahmed Alawy, ambaye anasome katika chuo kikuu cha South Carolina mjini Columbia mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mjini humo.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||