![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Jengo lawaka moto Kariakoo10/05/2008
Asubuhi ya kuamkia jana, jengo la ghorofa saba lilipo mtaa wa Mahiwa na Livingstone Kariakoo, Dar es Salaam, limeshika moto na hakuna jitihada za kutosha za kuliokoa kutokana na kutokuwepo kwa vifaa vya uhakika vya kuzimia moto huo,
Pichani juu askari wa kikosi cha Zimamoto cha Kandoro wakiwa hawajui la kufanya baada ya maji kuwaishia eneo la tukio na hivyo kubaki wakilitazama jengo likiendelea kuungua moto kama linavyoonekana.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||