Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

JK azindua MV Misungwi

13/05/2008

JK akikata utepe kuzindua kivuko cha MV Misungwi cha Kigongo-Busisi ambacho kitakuwa kikiwaunganisha wakazi wa Mwanza, Sengerema na Geita katika kurahisisha kazi zao za kiuchumi za kila siku. Kivuko hicho kipya, kina uwezo wa kubeba abiria 1000, magari 36 na kina tani 400.



Magari na watu wakianza kumiminika katika kivuko hicho baada ya kufunguliwa rasmi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©