Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Usalama Dar es Salaam

16/05/2008

Jiji la Dar es Salaam linazidi kuimarishiwa ulinzi. Pichani, farasi ambao wanatumika kulinda jiji la Dar es Salaam wakiwa wameizunguka gari ngeni yenye namba ya Kenya ambayo ilisimama hapo kwa kipindi kirefu usoni mwa jengo la Haidary Plaza.

Haikujulikana mara moja sababu za kuizunguka gari hiyo, lakini polisi hao waliandika kijinote na kuwaachia ujumbe wenye gari.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©