Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Sherehe za mradi wa maji Zanzibar

29/05/2008

Wasanii wa kikundi cha ngoma ya asili ya Zanzibar, wakicheza kwa kuongozwa na msanii Ali Mohammed, kwa kupuliza zumari akiwa amelala chini, wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Chumbuni, Zanzibar, ambao ulizinduliwa na Spika wa Bunge la Muungano, Samwel Sitta, kwa ufadhili wa Kampuni ya Sigara (TCC).

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Samuel Sitta, akinawa maji mara baada ya kuzindua rasmi mradi wa maji ambao umefadhiliwa na Kampuni ya Sigara (TCC), katika hafla iliyofanyika Chumbuni, Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©