Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Gari ya Almasi

30/05/2008

Gari ya almasi aina ya Mercedes Benz SL 600 ilikuwa katika moja ya magari ya maonyesho na mauzo ya magari ya maonyesho maalum.

Gari hiyo inamilikiwa na Prince Waleed bin Talal Alsaud wa Saudi Arabia.

Hii ni gari yake ya 38 katika listi ya magari aliyokuwa nayo.

Thamani ya gari hii ni $4.8 million.

Katika maonyesho ya magari hayo, imewekwa wazi kabisa kuwa ukitaka kuigusa gari hii, basi ulipe $1000 kuigusa tu!

Ilibaki watu yao macho.

Huyu ndiye Prince Waleed bin Talal Alsaud, tajiri wa kwanza katika bara la Arabu na Mwarabu tajiri duniani. Ana umri wa miaka 53 na ni mmoja katika familia ya kifalme ya Saudi Arabia.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©