![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Amanda Sululu ni Miss Universe wa Tanzania 200831/05/2008
Miss Universe TZ 2008 Amanda Sululu, akipozi muda mfupi baada ya kutangazwa kwenye Ukumbi wa Movenpick usiku kuamkia leo. Huyu ndiye mrithi wa Flavian Matata ambaye mwaka jana aliingia tano bora kwenye mchuano wa dunia. Amanda si mgeni sana kwenye fani hii kwani mwaka jana alishiriki Miss Tanzania.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||