Rais Karume ahutubia
baraza la Eid Zanzibar
02/10/2008

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza
la mapinduzi, Mhe. Alhaj Dk. Amani Abeid Karume alipokuwa akizungumza na
wananchi na waumini wa dini ya Kiislamu walioalikwa katika baraza la
Eid-el-fitr huko ukumbi wa Salama, Bwawani, Zanzibar jana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza
la mapinduzi, Mhe. Alhaj Dk. Amani Abeid Karume akisalimiana na wananchi
waliofika kupokea mkono wa Eid-el-fitr huko viwanja vya Ikulu, Zanzibar
jana.

Baadhi ya wananchi na watoto waliofika
kupokea mkono wa Eid-el-fitr huko viwanja vya Ikulu, Zanzibar jana,
wakiwa katika utaratibu maalum wa kupatiwa zawadi ya sikukuu kama
wanavyoonekana pichani.
|