Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Wahanga wa Disko Toto wazikwa - Tabora

09/10/2008

MJI wa Tabora uligubikwa na simanzi na vilio miongoni mwa wazazi, walezi, ndugu na jamaa wakati wakiitambua miili ya watoto 19 waliokufa katika kumbi za Disko za Bubbles Night Club na Top Five Disco Sound mjini Tabora baada ya kukosa hewa.

Miili ya watoto hao wenye umri wa kati ya miaka saba na 18 ilianza kuzikwa leo katika makaburi mbalimbali ya mjini Tabora, kwa kufuata imani zao za dini.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©