Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

007 Aston Martin, gari bora ya mwaka 2008

13/10/2008

Gari maarufu ya Aston Martin DB5 ambayo hutumiwa sana na 007 James Bond imeshinda na kuchaguliwa kuwa namba 1 kama ni gari bora ya mwaka 2008.

Aston Martin DB5 imetumiwa na James Bond katika filamu yake mpya Quantum of Solace. DB5 ina nguvu ya lita 6, injini V12 ambayo ina uwezo wa kusukuma 510bhp ambayo yenye spidi 200mph. Maana yake ina uwezo wa kufika 62mph kutoka 0mph kwa muda wa sekunde 4.3

Gari iliyoshinda katika kundi la gari za kifamilia ya mwaka 2008 ni Audi A4 kama ionekanavyo pichani juu ikiwa katika maonyesho yake mjini Seoul, Korea ya Kusini.

Gari iliyoshinda katika kundi la gari zenye miundo midogo ni gari mpya Fiat 500.

Gari iliyoshinda katika kundi la gari za kifahari ya mwaka 2008 ni Jaguar XF Sedan kama ionekanavyo pichani juu.

Gari iliyoshinda katika kundi la magari yenye nguvu ya matairi yote manne au (4x4) ni Ford Kuga kama ionekanavyo pichani juu.

Gari iliyoshinda katika kundi la magari ya Spoti au (Sports Car) ni Mitsubishi Evo X kama ionekanavyo pichani juu.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©