Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Madereva kusimamishwa Udereva

15/10/2008

Kuzidi kwa idadi ya magari na kuzidi kwa madereva hatari barabarani, wizara ya usalama wa barabara wametangaza rasmi kuwa, dereva yoyote atakayepatwa na makosa mawili atasimamishwa kuendesha gari.

Kosa la kwanza, mkosa atapewa pointi sita katika leseni yake, kosa la pili atakuwa na pointi kumi na mbili ambazo zinamfanya moja kwa moja kusimamishwa kuendesha gari. Katika makosa makubwa moja wapo ni kosa la kwenda kasi na kupita kiwango kinachoruhusiwa barabarani.

Waziri wa usalama wa barabara bwana Jim Fitzpatrick amesema, hatua hii itatizama siyo wenye kwenda mbio na magari na kuhatarisha usalama wa watu tu, vilevile sheria hii itaangalia vikali kwa wale wenye kuendesha gari wakiwa wamelewa na vilevile kwa mara ya kwanza sheria hii mpya itawakumba wale ambao wanakula vidonge vya dawa kwa matibabu yao (kama homa, flu, kichwa na kadhalika) lakini madawa hayo yanawafanya wapitiwe na usingizi (Drowsy) na kuwafanya wasiweze kuwa macho au kuwa makini katika kuendesha gari wanapokuwa barabarani.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©