Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikao cha kumi cha Bunge la Afrika

27/10/2008

Mbunge wa Kisarawe ambaye pia ni mbunge wa Afrika Mh. Athumani Janguo (pili shoto) akishiriki katika kikao cha 10 cha kawaida cha bunge la Afrika leo mjini Pretoria, Afrika ya kusini baada ya kufunguliwa na mwenyekiti wa umoja wa Afrika JK.

JK akipokewa na Rais wa Bunge la Afrika Dk. Getrude Mongela uwanja wa ndege wa Oliver Tambo usiku kuamkia leo. Mchana huu Jk amefungua kikao cha 10 cha kawaida cha bunge hilo na kurejea Tanzania kuendelea na ziara yake ya siku 8 ya mkoa wa Tabora.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©