Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Futari msikiti wa Manyema

13/09/2008

Hapo ni nje ya msikiti wa Manyema Mtaa Wa Mafia na Ukame, Kariakoo. Kila mwaka vijana takribani wote wanaoishi mitaa hiyo hujikusanya wakisubiri muda wa adhaa ili wapate kufungua Kinywa na Waislamu wenzao wanaokuja kuswali msikitini hapo.

Imekuwa ni utamaduni wa kila mwaka unapofika mwezi wa Ramadhan vitafunio tofauti, matunda mchanganyiko hukusanywa na kuwekwa pamoja ili wapate kuwafungulisha kinywa wote kila anaekuja na matunda au kitafunio huweka hapo na kuchanganya na wenziwe.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©