![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS |
||||||||
|
|
||||||||
Dk. Shein afuturu na wananchi, Pemba14/09/2008
Makamu wa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein (wa Pili Kulia) akila futari pamoja na Wananchi wa Kisiwa cha Pemba aliyoiandaa kwa ajili ya Wananchi wa Kisiwa hicho huko katika Ikulu ya Chakechake jana. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mh. Juma Kassim Tindwa, kulia Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mh. Dadi Faki Dadi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein katikati akila futari pamoja na Wananchi wa Kisiwa cha Pemba aliyoiandaa kwa ajili ya Wananchi wa Kisiwa hicho huko katika Ikulu ya Chakechake jana. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mh. Juma Kassim Tindwa kulia Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Dadi Faki Dadi.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||