Odinga atembelea Zanzibar
28/09/2008

Waziri Kiongozi wa
Zanzibar, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha akimkaribisha Waziri Mkuu wa Kenya,
Mhe Raila Amolo Odinga muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa
Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar jana kwa ziara ya siku moja.

Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Amani Abeid Karume akipokea
zawadi kutoka kwa Waziri Mkuu wa Kenya, Mhe. Raila Amolo Odinga. Mhe.
Odinga alimtembelea Mhe. Rais Karume Ikulu ya zamani mjini Zanzibar.
|