Swala ya Eid-el-Fitr 2008
- Dar es Salaam
30/09/2008

Waumini wa Kiislam wakiwa
katika swala ya Eid-el-fitr leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini Dar
es Salaam.

Baadhi ya Waislamu walikusanyika katika
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam baada ya kumaliza mfungo wa
mwezi mtukufu wa Ramadhan.
|