![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
News archive |
||||||||
|
|
01 January 2008 |
|||||||
Happy New Year 2008
Serikali ya U.K. iliandaa maaskari wa ulinzi wapatao 3,600 katika kulinda usalama wa raia kutokana na kutarajia watu wengi kukua kila mwaka katika maonyesho hayo ya mwaka mpya ya 2008 ambayo hufanyika katika kitovu cha London. Vilevile, wengine walijazana Trafalgar square ambapo kulikua na maonyesho ya peke yake. Sana la Nelson liliwashwa taa na kumurika eneo lote la Trafalgar square. Maaskari walitanda kuzuia watu wasiingie zaidi ndani ya Trafalgar square ili kuepukana na kufurika kwa watu katika uwanja huo. Mpaka kufikia saa kumi usiku, polisi waliwatia mbaroni karibu watu hamsini kwa makosa tofauti, yakiwemo ulevi, utovu wa nidhamu na fujo. Na watu 22 walikamatwa na mapolisi wa usafiri wa 'Underground' na mabasi.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||