![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS archive |
||||||||
|
|
06 January 2008 |
|||||||
Gari yagonga hodi katika nyumba ya familia ya Chapmans
Familia ya Chapmans wa Essex, England, waliamka na kukuta gari ya aina ya Nissan 4x4 imewagongea hodi bila ya mwaliko. Inasemekana ajali hiyo ilisababishwa na hali mbaya ya hewa ambayo imesababisha barabara kuwa katika hali mbaya na kusababisha ajali kama hiyo. Sehemu ilipoingia hiyo gari ni kawaida chumba cha kucheza cha wajukuu wa mzee Chapman wakija kumtembelea babu yao. Bahati nzuri wikiendi hii, hawakuja kwa babu yao kumtembelea.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||