![]() |
Your community website |
![]() |
||||||
|
|
|
|||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
|
||||||||
|
NEWS archive |
||||||||
|
08 January 2008 |
||||||||
Kimbunga chaikumba Scotland na Ireland Kaskazini
Kimbunga cha hali mbaya ya hewa kimepiga Scotland na Ireland kaskazini, ambayo imesababisha kubomoka kwa majengo na ajali barabarani. Polisi wa Scotland walitangaza kwa kutoa onyo kwa madereva kuangalia mwendo wao wakiwa barabarani ambao umesababisha magari kupinduka.
Maelfu wa watu waliachwa bila ya umeme baada ya kimbunga hicho cha mwendo wa kilomita sabini kwa saa kilipoingia Scotland.
|
||||||||
|
Custom Search
|
||||||||
|
|
|
|||||||
|
©
www.zenjydar.co.uk - Since 2007 |
|
||||||||