Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS archive

 
 

 08 January 2008

Rais wa Zanzibar azindua mtandao

Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi, mheshimiwa Amani Abeid Karume, akibonyeza kompyuta kuashiria kuzindua mfumo wa pamoja wa usimamizi wa fedha (Integrated financial), ambao utaunganisha kompyuta za wizara, idara na taasisi mbalimbali.

 

Hafla hiyo iliandaliwa na wizara ya fedha na uchumi, ikiwa ni miongoni mwa sherehe za kutimia miaka 44 ya mapinduzi ya Zanzibar.

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©