Mount Kilimanjaro

 

 

 

Your community website

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Soko la Kariakoo lafungwa

15/01/2008

Soko la Kariakoo limefungwa na wahusika wa soko hilo ili kufanikisha zoezi la kuondoa wachuuzi waliokuwa wakifanyia biashara zao pembezoni mwa soko hilo na maeneo ya jirani. Kazi hii ambayo imeanza, haijulikani itaisha lini na hii ni mara ya kwanza kwa soko hilo kufungwa tangu kufunguliwa kwake miaka ya 70. Mwendo huo umechukuliwa kwa kuimarisha 'trading standard' ya nchi yetu.

Hapo juu ni soko la Kariakoo lionekanavyo sasa bila ya wachuuzi wa biashara za pembeni.

Soko la Kariakoo mwaka 1971, Dar es salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
Events Calendar
News Archive 2008
News Archive 2007

External Links

Alnoor CET
TZ Embassy UK
TZ's Community UK

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©